- Amani inaunganisha, “…Tukijitahidi kuuhifadhi umoja wa ROHO katika kifungo cha Amani” (Waefeso 4:3).
-Inaunganisha
Ushirika
-Inaunganisha
mtu na Mungu
-Inaunganisha
moyo wa mtu uliogawanyika kwa vidonda
- Amani inashika Neema na Hekima
Neema
-Uwezo
wa kiungu kutenda
Amani
inapoushika moyo uwezesho wa neema kama kuweza
kumsikia Mungu, kuweza
kumtumikia kunafanikiwa
Hekima
-Namna
ya kutenda
-Amani
ikiwepo maelekezo ya kiungu moyoni huanza. Ni rahisi kupata hekima ya
kutenda jambo ukiwa na amani
MOYO
WENYE AMANI HUACHILIA NGUVU NA MBINU ZA KUITENDEA KAZI NGUVU HIYO.
- Kazi ya amani moyoni ni msingi wa mema yote.
VII. Funguo
za Amani
TOBA
- Mwamini Yesu na kuitegemea kazi ya Msalaba ili usamehewe.
MAOMBI
- Baada ya kumkabidhi Mungu tatizo lako linalokusumbua endelea kutamka kama yeye analo usijisumbue (Wafilipi 2:6-7), utasema kama Daudi, “Katika amani nitajilaza na kupata usingizi, maana wewe Bwana peke yako ndiye unijaliaye kukaa salama” (Zaburi 4:8).
UWE
NURUNI MBELE ZA MUNGU
- Usifiche dhambi kwa Mungu-Hapana amani kwa wabaya
NENO
- Kaa katika Neno, Yesu alitamka kwa wanafunzi “Amani iwe kwenu” Neno lake liliwapa amani” (Yohana 20:19). “Wana amani nyingi waipendao Sheria yako wala hakuna la kuwakwaza” (Zaburi 119:165). “Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia.” (Ayubu 22:21).
OMBA
KWA ROHO
- Ukosapo amani katika uamuzi tumia muda kunena kwa lugha. Amani ikizidi kukosekana acha uamuzi huo (Wakolosai 3:15). Tunda la Roho (Wagalatia 5:22).
Amani
na iwe kwa ndugu na pendo pamoja na imani zitokazo kwa Mungu Baba na
kwa Bwana Yesu Kristo (Waefeso 6:23).
DAMU
6.Sema
kwa njia ya damu ya Yesu una amani na Mungu na dhamiri yako.
No comments:
Post a Comment