Saturday, March 2, 2019

KUTAMBULISHWA, KUJITAMBUA, KUJITAMBULISHA :: [IX] MAANDIKO YA KUSOMA NA KUTAFAKARI

MAANDIKO YA KUSOMA NA KUTAFAKARI ILI KUJITAMBULISHA
Yafuatayo ni maandiko ambayo kwa upana yanaweza kukusaidia kusoma kutafakari na kujitambulisha katika Kristo. Ni aina tofauti tofauti ya utambulisho wako katika Yesu unavyoonekana. Vichwa vilivyopo juu ya majedwali kama vile: Katika Kristo, Katika yeye, Kwa Yeye, tunaweza yajumuisha katika neno moja tu, yaani Muunganiko wetu na Kristo.  Maandiko tunayoyatazama katika majedwali haya, yanaonyesha sisi na Kristo, yapitie pole pole, yarudie mara kwa mara ili kuweza kujitambua na hatimaye kujitambulisha katika Kristo. Unaweza jitengea kila mwezi kupitia jedwali moja moja, kisha kurudia rudia.
Jedwali 1 : Katika Kristo
Warumi 3:24
Galatia 2:4
Kolosai 1:28
Warumi 8:1
Galatia 3:26
1Thesalonike 4:16
Warumi 8:2
Galatia 3:28
1Thesalonike 5:18
Warumi 12:5
Galatia 5:6
1Timiteo 1:14
1Wako 1:2
Galatia 6:15
2Timoteo 1:9
1Wako 1:30
Efeso 1:3
2Timoteo 1:13
1Wako 15:22
Efeso 1:10
2Timoteo 2:10
2Wako1:21
Efeso 2:6
2Timoteo 3:15
2Wako2:14
Efeso 2:10
Filemoni 1:6
2Wako3:14
Efeso 2:13
2Petro 1:8
2Wako5:17
Efeso 3:6
2Yohana 1:9
2Wako5:19
Efeso 3:13,14
2Timoteo 2:1
Efeso 1:6
Efeso 6:10
Efeso 1:7
Efeso 1:11
Efeso 3:12
1Petro 1:8
Efeso 1:13
Kolosai 1:14
Warumi 3:22
Efeso 2:21
Kolosai 2:3
Warumi 5:15
Efeso 2:22
Kolosai 2:11
Warumi 5:17-19
Warumi 7:4
1Wako 1:4
2Wako 5:18
Galatia 2:6
Efeso 1:5
Filipi 1:11
Filipi 4:19
1Petro 1:3
1Petro 2:5
1Petro 5:10
1Wako 1:4
Waebrania 1:3

Jedwali 2: Ndani Yake
Matendo 17:28
Wakolosai 2:6
1Yohana 3:3
Yohana 1:14
Wakolosai 2:7
1Yohana 3:5
Yohana 3:15, 16
Wakolosai 2:10
1Yohana 3:6
2Wakorintho 1:20
1 Yohana 2:5
1Yohana 3:24
2Wakoritho 5:21
1 Yohana 2:6
1Yohana 4:13
Waefeso 1:4
1Yohana 2:8
1Yohana 5:14,15
Waefeso 1:10
1Yohana 2:27
1Yohana 5:20
Wafilipi 3:9
1Yohana 2:28


Jedwali 3: Kwa Jina Lake
Mtathayo 18:20
Yohana 14:13,14
Yohana 15:16
Marko 16:17,18
Yohana 16:23,24
1Wakorintho 6:11


Kila kitu chenye faida kwako yakupasa kuwa na muda nacho.  Uwe na muda na neno la Mungu.  Maandiko haya yanafungua njia ya kujua muunganiko wako na Yesu.  Huu ni utambulisho wako.  Tumia muda kuyasoma polepole, yapitie yote, andika kwenye daftari, yatafakari na kuyasema, mpaka yawe sehemu yako.  Anza utaratibu huo na kujitafutia mwenyewe utambulisho wako, kisha jitambulishe!

Asante kwa kufuatilia somo hili hata mwisho.
Usiache kuperuzi na kufuatilia Blog hii kwa masomo mengine mengi yaliyopo.
Wiki ijayo kwa Neema zake Kristo, tutaanza somo lingine.
Zidi Kubarikiwa.

No comments:

Post a Comment