YESU ALIFUNDISHA ZAIDI YA KAZI NYINGINE YEYOTE ALIYOFANYA.
*Kazi ya Yesu kuu na ya kwanza ilikuwa ni kufundisha.
*Kazi yake kuu na ya kwanza sasa ni kufundisha.
*Kufundisha ni moja ya tendo la ajabu la Yesu: Luka 19:37.
1. Yesu alifundisha kabla ya huduma nyingine yoyote (Mathayo 4:23, 9:35).
2.Kazi kuu zinatanguliwa na kufundisha au kujifunza (Marko 6:2).
3.Kufundisha ni kuchunga (Marko6:34)
4.Kufundisha kwa Yesu kuliendana na mamlaka yake (Mt21:23, Marko 1:22)
5. Alipoona hawaamini alifundisha kujenga imani (Marko 6:6).
6.Alipokuwa akifundisha uweza ulidhihirika
(Luka 5:17).
7. Luka 23:5, mafundisho yanachochea, yanataharakisha jambo kufanyika. Ikiwa inahitajika jambo lifanyike watu wakifundishwa huchochewa.
8.Marko 2:13, walipomsonga aliwafundisha.
9.Akawafundisha tena, Marko 10:1. Kufundisha jambo kunahitajika tena na tena.
10. Alifundisha kila siku,( Luka 19:47-48)
UMUHIMU WA KUJIFUNZA
1.Kubadilika mtazamo
2.Mungu kudhubiti maisha yako kama mchungaji
3. Maarifa na hekima
4.Kukarabati imani
5.Kuchochewa kutenda mema
USIACHE KUFUNDISHA NENO, USIACHE KUJIFUNZA
No comments:
Post a Comment